Mbunge CHADEMA alalamikia mapokezi ya Rais
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi Gibson Meseyeki amelalamikia namna ambavyo viongozi wa wilaya yake walimpokea Rais John Pombe Magufuli kwenye jimbo lake mkoani Arusha, licha ya yeye mwenyewe kutoonekana kwenye ziara hiyo ambayo Wabunge mbalimbali walishiriki.