Sababu ya Yondani kutoichezea Yanga leo Kelvin Yondani Nahodha wa Yanga Kelvin Yondani, leo atakuwa jukwaani akiitazama timu yake ya Yanga ikicheza na Ruvu Shooting kwenye ligi kuu soka Tanzania bara kwenye uwanja wa taifa. Read more about Sababu ya Yondani kutoichezea Yanga leo