Sababu ya Yondani kutoichezea Yanga leo

Kelvin Yondani

Nahodha wa Yanga Kelvin Yondani, leo atakuwa jukwaani akiitazama timu yake ya Yanga ikicheza na Ruvu Shooting kwenye ligi kuu soka Tanzania bara kwenye uwanja wa taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS