Yanga kuwakosa viungo wake leo

Baadhi ya wachezaji wa Yanga

Klabu ya soka ya Yanga inatarajia kuwakosa viungo wake muhimu, Papy Tshishimbi na Feisal Salum 'Fei toto' katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya African Lyon utakaopigwa leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS