Feisal Salum 'Fei Toto', wa kwanza (kushoto) akiwa na rafiki yake miaka 10 iliyopita.
Utakubaliana na mimi kuwa ni mara chache sana kuona mashabiki wa soka Tanzania kupagawa na mchezaji tofauti na mshambuliaji kutokana na kiwango alichokionesha uwanjani.