Sakata la CAG, Wabunge upinzani 'wamtega' Spika

Wabunge wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni wametishia kupeleka hoja, ya kutokuwa na imani na Spika wa Bunge Job Ndugai baada ya uamuzi wake kuwahamisha baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kamati ya hesabu za serikali za mitaa (LAAC).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS