Mstaafu mwingine aingilia sakata la Spika na CAG

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) , Profesa Mussa Assadi , na Spika Job Ndugai

Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Pius Msekwa amesema kwa mujibu wa sheria ya Bunge Spika, Job Ndugai ana mamlaka ya kumuuita kiongozi yeyote kwa mujibu wa sheria endapo atakiuka taratibu na sheria za kibunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS