Rais Magufuli amtaja Mbowe na jimbo lake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, Freeman Mbowe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema hakuna kiongozi wa kisiasa ambaye amezuiliwa kufanya mikutano kwenye eneo lake ambalo amechaguliwa na kusema hali hiyo ndiyo demokrasia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS