Mchezaji wa Yanga aliyekuwa amefungiwa aruhusiwa Kikosi cha Yanga Mchezaji Mohamed Issa ameruhusiwa kuanza mazoezi wakati akikaribia mwisho wa adhabu yake ya kufungiwa baada ya kubainika kutumia dawa zisizoruhusiwa michezoni aina ya bangi. Read more about Mchezaji wa Yanga aliyekuwa amefungiwa aruhusiwa