Mbunge CCM azungumzia kumng'oa Spika

Spika wa Bunge Job Ndugai

Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Goodluck Mlinga amesema kuwa yeye binafsi hatoweza kuunga mkono hoja ya kutokuwa na imani na kiti cha Spika, Job Ndugai kama ilivyoelezwa na baadhi ya wabunge wa upinzani nchini, wakiwa Jijini Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS