Mbunge CCM azungumzia kumng'oa Spika
Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Goodluck Mlinga amesema kuwa yeye binafsi hatoweza kuunga mkono hoja ya kutokuwa na imani na kiti cha Spika, Job Ndugai kama ilivyoelezwa na baadhi ya wabunge wa upinzani nchini, wakiwa Jijini Dodoma.

