Gumzo, kiatu cha Kigwangalla alichovaa Ikulu

Rais Magufuli akitoka Ikulu pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt.John Kijazi, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega

Kwa siku ya pili mfululizo tangu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla alivyofanya mazungumzo na Rais Magufuli Ikulu, kumekuwa na gumzo juu ya kiatu alichovaa katika mazungumzo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS