''Yanga na Azam FC wanapanga matokeo''- Manara
Katika kipindi cha miaka kadhaa ambayo Simba haikushiriki michuano ya kimataifa, msemaji wake Haji Manara alikuwa akipambana na Bodi ya ligi (TPLB) juu ya Yanga na Azam FC kuwa na viporo vingi na kufikia hatua ya kusema wanapanga matokeo.

