Bumbuli ajibu tambo za Manara

Afisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli

Afisa Habari wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amesema kuwa klabu hiyo haina muda wa 'kujimwambafai' kama wanavyofanya mahasimu wao Simba kuelekea mchezo wao wa ligi wikiendi hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS