Sekta Binafsi wafichua siri ya Ali Mufuruki

Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF, Godfrey Simbeye.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi hapa nchini (TPSF), Godfrey Simbeye, amesema kuwa bado sekta hiyo ilikuwa inamuhitaji Ali Mufuruki kwa kuwa alikuwa bado hajakamilisha ndoto yake ya kuifikisha mbali sekta binafsi ya Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS