Wafungwa waliosamehewa na JPM wapata shavu

Wafungwa walioachiwa huru kwa msamaha wa Rais Magufuli, wakitoka katika Gereza la Butimba, Mwanza.

Jumla ya wafungwa 79 kati ya wale 5,533, waliosamehewa jana Desemba 9, 2019, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, wameachiwa huru katika Gereza la Butimba mkoani Mwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS