Bongo Movie yampoteza staa mwingine

Marehemu msanii Diana Choudry Nsunda

Taarifa zilizochapichwa katika ukurasa wa mtandao wa  instagram wa muigizaji Jimmy Mafufu, zinasema wameondokewa na mmoja wa wasanii wa filamu aitwaye Diana Choudry Nsumba  ambaye amefariki dunia Disemba 31, 2019.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS