Waadhimisha Uhuru kwa kukagua Nyama  mabuchani

Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo Mkoa wa Temeke, Bw.Krishna Mahamba, akiwa kwenye Ukaguzi wa Nyama.

Wakala wa Vipimo Nchini (WMA), imesema kuwa itaendelea kulinda maslahi ya watumiaji na wafanyabiashara, kupata stahiki sahihi katika manunuzi na uuzaji wa bidhaa zao kwa kutumia vipimo vinavyoendana na thamani ya pesa inayolipwa na mteja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS