Chuchu Hansy akataa kulindwa na silaha Muigizaji wa filamu nchini, Chuchu Hansy. Msanii wa filamu nchini, Chuchu Hansy, amekanusha madai ya yeye kulindwa na silaha na mpenzi wake, ambaye pia ni mzazi mwenziye, Vincent Kigosi maarufu kama Ray. Read more about Chuchu Hansy akataa kulindwa na silaha