Mfungwa Mbeya aliyekataa kurejea Uraiani afuatwa

Kijana Merald Abraham aliyegoma kurudi Uraiani.

Hatimae kijana Merald Abraham, aliyekuwa amefungwa kwenye Gereza la Ruanda, mkoani Mbeya na kukataa kurejea Uraiani, baada ya kupata msamaha wa Rais Magufuli, tayari ndugu zake wamekwishamchukua na kuondoka naye nyumbani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS