Yanga, Simba na Azam FC zote zimemuita Masau Bwire
Msemaji wa klabu ya soka ya Ruvu Shooting Masau Bwire
Msemaji wa klabu ya soka ya Ruvu Shooting Masau Bwire ambaye ameweka wazi kuwa kwasasa yeye ni mkurugenzi wa klabu hiyo, amesema ameshawahi kuhitajiwa na klabu kongwe za Yanga na Simba.