'Nguo za ndani zinaning'inia tu Manzese' - TBS
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Dkt Athman Ngenya, amesema kuwa licha ya Shirika hilo kujitahidi kukomesha uingizwaji wa nguo za ndani zisizotakiwa, lakini bado nguo hizo zimekuwa zikiendelea kuuzwa kila kukicha.