Kamikaze agonga msumari wa mwisho kwa Vanessa Mdee

Msanii wa muziki Bongo, Cyrill Kamikaze na Vanessa Mdee.

Rapa anayewakilisha pande za Singida, Cyrill Kamikaze, amegongelea msumari wa mwisho kwa Vanessa Mdee na kusema, alivyomtolea lugha chafu hadhani kama alimaanisha ila alikuwa na hasira na mawazo na kwamba hawezi kumjibu chochote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS