UDOM yafafanua sababu ya kukamatwa kwa Mwanafunzi

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Profesa Faustine Bee

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Profesa Faustine Bee,  amesema mwanafunzi Masumbuko Mgaya alishikiliwa na Jeshi la Polisi kwa makosa 3 ya matumizi ya mtandao na hakuna kosa linalohusiana na suala la upatikanaji wa maji chuoni hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS