"Kama Suprise ni Baba Levo, imeshakufa"-Msechu

Kushoto pichani ni Peter Msechu, kulia ni Baba Levo

Msanii wa BongoFleva Peter Msechu, ametangaza kufunga ndoa na  mpenzi wake wa muda mrefu aitwaye Ama Lauren, ambaye ni mzazi mwenziye siku ya leo Januari 25, 2020 kuanzia 8:30 mchana hadi 10:30 jioni, katika kanisa la KKKT ushirika wa Ununio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS