Alikiba alivyoipa nguvu Lipuli ikishinda 4 - 0

Alikiba

Saa chache kabla ya timu ya Lipuli kucheza mchezo wake dhidi ya Dar City ya Dar es salaam kwenye michuano ya Kombe la FA ambapo Lipuli ilishinda kwa mabao manne 4 - 0. Msanii wa Muziki Alikiba alifanya mazoezi na wachezaji wa Lipuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS