Makonda azindua mfumo wa kidigitali

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amezindua mfumo wa ufuatiliaji wa ujenzi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Mkoa huo, utakaorahisisha uratibu na usimamizi wa miradi mbalimbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS