'Yanga wananiogopa, wanatamani' - Haji Manara

Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara.

Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara, amesema mashabiki wa Yanga wanamugopa sana, wanatetemeka na wengine wanatamani hadi afe pale wamuonapo ila ndiyo hivyo hawana cha kumfanya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS