'Mmenisaidia kumsitiri, Mama ni mmoja' - Kabendera

Pichani ni Erick Kabendera akifuta machozi, kulia na mama yake mzazi Verdiana Mujwahuzi enzi za uhai wake.

Leo Januari 3, 2020, imefanyika ibada ya kuuga mwili wa mama yake mzazi na Mwandishi wa Habari, anayekabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi, Erick Kabendera, Verdiana Mujwahuzi, iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mt Francis Xaviel Chang'ombe, jijini Dar es Salam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS