Mwili wa Mama Kabendera wawasili Bukoba Mwili wa Mama mzazi wa Erick Kabendera, ukiwasili Bukoba Mwili wa Mama mzazi wa Mwandishi wa Habari Erick Kabendera, umewasili katika Uwanja wa Ndege wa Mjini Bukoba na kupokelewa na ndugu na jamaa, ukitokea jijini Dar es salaam. Read more about Mwili wa Mama Kabendera wawasili Bukoba