Lord Eyes avunja ukimya kwa Ray C kuhusu madawa

Wasanii Lord Eyes na Ray C enzi walipokuwa kwenye mahusiano

Mkali wa HipHop kutokea Kaskazini mwa nchi ya Tanzania yaani Arusha Lord Eyes, amefunguka na kusema hajawahi kumfundisha aliyekuwa mpenzi wake Ray C kutumia madawa ya kulevya bali alimkuta tayari kashatumia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS