Yanayotarajiwa kwa Idris Sultan leo

Mchekeshaji, Idris Sultan.

Mwanasheria wa mchekeshaji Idris Sultan, Ben Ishabakaki amesema kuwa huenda leo mteja wake akaachiwa kwa dhamana ama kupelekwa mahakamani, kwa kuwa tayari Polisi wameshamaliza kumfanyia mahojiano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS