Waziri Mkuu aonya wanaodhani kila kifo ni Corona Waziri Mkuu akizungumza wakati akitoa taarifa kuhusu Corona Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ametoa rai kwa Watanzania, kuacha kutoa taarifa za uzushi za vifo kuwa kila kifo kinachotokea kinasababishwa na Virusi vya Corona. Read more about Waziri Mkuu aonya wanaodhani kila kifo ni Corona