'Hakuna Ibada ya Eid Kitaifa' - BAKWATA
Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA), limeeleza hakutakuwa na Swala ia Eid ya Kitaifa wala Baraza la Eid na kuwataka waumini wake kufanya ibada kwenye misikiti yao ya karibu kwa kufuata taratibu za afya, ikiwa ni hatua ya kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.