Waziri Mkuu ambana vilivyo mkandarasi wa Bandari
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Kampuni ya Xiamen Ongoing Construction Group inayojenga Bandari ya Karema kwa gharama za zaidi ya sh. bilioni 47 ifanye kazi usiku na mchana na kukamilisha ujenzi huo kwa wakati ili kuimarisha biashara kati ya Tanzania na Congo.

