Waziri Mkuu ambana vilivyo mkandarasi wa Bandari

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Kampuni ya Xiamen Ongoing Construction Group inayojenga  Bandari ya Karema kwa gharama za zaidi ya sh. bilioni 47 ifanye kazi usiku na mchana na  kukamilisha ujenzi huo kwa wakati ili kuimarisha biashara kati ya Tanzania na Congo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS