Lipumba amsimamisha kazi kigogo, Zanzibar Prof. Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba, kwa kutumia mamlaka ya kikatiba ya chama hicho, amemsimamisha Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Faki Suleiman Khatib. Read more about Lipumba amsimamisha kazi kigogo, Zanzibar