Mtia nia wa Urais CHADEMA adai hana anayemhofia
Mtia nia wa kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Leonard Manyama, amesema kuwa miongoni mwa majina 11 ya watia nia yaliyotangazwa na chama hicho, haoni hata mmoja ambaye anaweza akamzidi na hivyo yeye ndiyo atapewa ridhaa ya kupepeperusha bendera ya chama.