Mtia nia wa Urais CHADEMA adai hana anayemhofia

Leonard Manyama, Mtia nia wa kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA.

Mtia nia wa kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Leonard Manyama, amesema kuwa miongoni mwa majina 11 ya watia nia yaliyotangazwa na chama hicho, haoni hata mmoja ambaye anaweza akamzidi na hivyo yeye ndiyo atapewa ridhaa ya kupepeperusha bendera ya chama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS