Yafahamu majimbo yaliyobadilishwa hii leo

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imebadilisha majina ya majimbo matatu, likiwemo jimbo la Chilonwa, ambalo kwa sasa linaitwa Chamwino, Jimbo la Mtera limebadilishwa na kuitwa Mvumi, na Jimbo la Kijitopele lililopo Wilaya ya Magharibi B linaitwa jimbo la Pangawe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS