Yafahamu majimbo yaliyobadilishwa hii leo
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imebadilisha majina ya majimbo matatu, likiwemo jimbo la Chilonwa, ambalo kwa sasa linaitwa Chamwino, Jimbo la Mtera limebadilishwa na kuitwa Mvumi, na Jimbo la Kijitopele lililopo Wilaya ya Magharibi B linaitwa jimbo la Pangawe.

