Nondo aeleza atakavyotofautiana na Zitto jimboni

Kushoto ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, na kulia ni Kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe.

Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa Chama cha ACT Wazalendo Abdul Nondo, amesema kuwa endapo chama chake kitampa ridhaa ya kupeperusha bendera ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Kigoma Mjini, atahakikisha yale yote ambayo Zitto hakuyafanya yeye anayaanzisha na kuyatekeleza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS