Sadaka ya Misa ya Rais Mkapa kukarabati Nyumba
Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam Yuda Ruwa’ichi, ameagiza sadaka itakayopatikana kwenye shughuli ya kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa, zitumike kukarabati nyumba ya mapadri wa Lupaso, mkoani Mtwara.

