Sadaka ya Misa ya Rais Mkapa kukarabati Nyumba

Rais Mstaafu, Marehemu Benjamin William Mkapa

Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam Yuda Ruwa’ichi, ameagiza sadaka itakayopatikana kwenye shughuli ya kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa, zitumike kukarabati nyumba ya mapadri wa Lupaso, mkoani Mtwara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS