Wasanii wa BongoFleva kutoka kushoto ni Billnass, Marioo na Alikiba
Wasanii kutoka kiwanda cha BongoFleva Alikiba, Mwana Fa, Billnass na Marioo na baadhi ya wasanii wengine wameonekana wakiwa Jijini Dodoma kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa CCM Taifa 2020.