Alikiba, Mwana Fa , Billnass na Marioo waungana

Wasanii wa BongoFleva kutoka kushoto ni Billnass, Marioo na Alikiba

Wasanii kutoka kiwanda cha BongoFleva Alikiba, Mwana Fa, Billnass na Marioo na baadhi ya wasanii wengine wameonekana wakiwa Jijini Dodoma kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa CCM Taifa 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS