Waziri Mkuu wa Burundi arejea nyumbani
Waziri Mkuu wa Burundi Jenerali Alain Guillaume, leo amerejea nchini kwake hii ni baada ya hapo jana kumwakilisha Rais wa nchi hiyo Evarist Ndayishimiye, kwenye shughuli ya Kitaifa ya kuuaga mwili wa Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa, kwenye Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.

