Eng.Hersi Said upande wa kulia akiwa kwenye picha ya pamoja na mwenyekiti wa Yanga Dr.Mshindo Msola.
Mkurugenzi wa uwekezaji wa kampuni ya GSM ambaye ni Makamu mwenyekiti wa kamati ya mashindano ya Yanga Eng.Hersi Said ametuma ujumbe mzito wa mafanikio kwa wanayanga.