Mashambulizi yaanza upya Gaza, 400 wauawa Jeshi la Israel linasema kuwa linafanya mashambulizi makubwa katika Ukanda wa Gaza, huku wizara ya afya inayosimamiwa na Hamas ikiripoti kuwa zaidi ya Wapalestina 400 wameuawa Read more about Mashambulizi yaanza upya Gaza, 400 wauawa