WHO yaonya maambukizi ya HIV kuongezeka duniani
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuwa dunia inaweza kushuhudia maambukizi mapya ya HIV zaidi ya milioni 10 na vifo vya watu milioni 3 vinavyohusiana na ugonjwa huo, kufuatia kusitishwa kwa msaada wa kigeni wa Marekani unaosaidia upatikanaji wa dawa za HIV.