
Picha ya Mohbad na kufukuliwa kwa mwili wake
Mwili huo umefukuliwa baada ya suala hili kuzidi kuwa kubwa na kuibua maandamo maeneo mbalimbali Nigeria ya kudai haki juu ya kifo cha Mohbad na watu hawakupendezwa na kitendo cha kuzikwa mapema kabla ya uchunguzi.
Mohbad alifariki Sept 12 kwa sababu inayotajwa kuwa ni msongo wa mawazo na infection. Alizikwa siku iliyofuata, Septemba 13.