Mhe, Nurdin Hassan Babu
Baada ya kupiga amewashukuru wakazi wa Mkoa huo waliojitokeza kwa wingi kupiga kura na kutimiza haki yao muhimu ya kupiga kura na kuwataka ambao bado hawajafika kwenye kupiga kura waendelee kujitokeza.
Pia, amewahakikishia wakazi wa Kilimanjaro kuwa na usalama wa kutosha na wasiwe na wasiwasi wowote usalama upo wa kutosha, wasisikilize maneno ya watu wanaosema kuwa hakuna uchaguzi
