Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa
Mwilango amekamatwa eneo la Doma wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro.
Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa, amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa akiwa na vitu mbalimbali vya marehemeu ikiwemo simu ya mkononi.
Imeelezwa mauaji hayo yaliyotokea tarehe 8 Februari, 2022.
Tazama Video hapo chini

