Meya wa Dar es salaam
Chanzo cha vurugu kimetajwa ni kusaini kwa mahudhurio kwa mtu ambaye hayupo ndani ya chumba mkutano, ambapo mtu huyo ni moja ya wajumbe wa mkutano huo.
#HABARI Vurugu zimeibuka katika kikao cha Baraza la Madiwani wa jiji la Dar es salaam, wakati wa kikao maalum cha kujadili na kuamua hatma ya Meya wa jiji la DSM Isaya Mwita.
Chanzo cha vurugu kimetajwa ni kusaini kwa mahudhurio kwa mtu ambaye hayupo ndani ya chumba cha mkutano. pic.twitter.com/3110Grz6pg
— East Africa TV (@eastafricatv) January 9, 2020
Tazama video kamili hapo chini.

