Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

GSM kujenga uwanja jangwani

Jumapili , 11th Feb , 2024

Klabu ya Young Africans kupitia kwa Rais wake Eng. Hersi Said leo wametangaza kuwa mdhamini na mfadhili wa klabu hiyo Gharib Said Mohamed kupitia makampuni yake ya GSM atajitolea kushiriki kwenye ujenzi wa uwanja wa klabu hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari Injinia  Hersi ameweka wazi kuwa klabu hiyo itaanza ujenzi wa uwanja wao kwenye eneo la Jangwani ambali lipo karibu na makao makuu ya klabu hiyo.

“Baada ya mazungumzo ya muda mrefu na mfadhili na mdhamini wa klabu yetu, Gharib Said Mohamed , nipende kuwataarifa wanachama na mashabiki wa klabu yetu kuwa leo GSM ameridhia kwa dhati kushiriki kwenye kufanikisha ujenzi wa uwanja wa kisasa wa Yanga katika eneo la makao makuu ya klabu yetu Jangwani, Jijini Dar es salaam,” amesema  Hersi.

 

Ni klabu tatu pekee nchini zenye viwanja vyake na klabu mbili ndizo zenye viwanja vinavyokidhi ubora wa kuchezea Ligi kuu kandanda Tanzania Bara.

Klabu hizo ni JKT Tanzania , Singida Fountain Gate na Azam fc . Ni Azam na JKT Tanzania pekee ndio zenye uwanja unaotumika kwa michezo ya Ligi kuu.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi