
Simon Patrick - Aliyekuwa Mwanasheria wa Klabu ya Yanga

Lamine Yamal - Winga wa Klabu ya Barcelona

Kylian Mbappe - Mshabuliaji wa Klabu ya Real Madrid

Patrick Aussems - Aliyekuwa Kocha wa Singida Black Stars

Jude Bellingham akihamaki baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu na refa Jose Luis Munuera Montero

Takehiro Tomiyasu - Beki wa Klabu ya Arsenal

Ruben Amorim - Kocha wa Klabu ya Manchester United

Carlo Ancelotti - Kocha wa Real Madrid

Wachezaji Kibu Denis (Simba) na Aziz Ki (Yanga)

Lamine Yamal - Winga wa Klabu ya Barcelona

Enzo Maresca - Kocha wa Chelsea

Pep Guardiola - Kocha wa Manchester City na Earling Haaland

Ruben Amorim Kocha wa Manchester United

Taifa Stars imepoteza michezo yake yote mitatu iliyocheza kwenye michuano ya Mapinduzi ya Zanzibar,hofu imetanda kutokana na Wachezaji ambao wataunda kikosi kitakachoshiriki mashindano ya CHAN wengi wao wametumika katika michuano ya Mapinduzi.

Zikiwa zimesalia siku 6 pekee dirisha dogo la usajili Tanzania bara kufungwa Januari 15/2025 ambalo lilifunguliwa Disemba 15/2024, Jina la Aishi Salum Manula mwenye umri wa miaka 29 ni miongoni mwa wachezaji wa Simba Sc ambao hawajapata nafasi ya kucheza chini ya Kocha wa Fadlu Davids kwenye mechi za ushindani msimu huu kutokana na kiwango bora anachoonesha Moussa Camara raia wa Guinea.