Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zuberi Katwila ajiuzulu ukocha Mtibwa Sugar

Jumapili , 18th Oct , 2020

Uongozi wa Mtibwa Sugar umethibitisha kuwa kocha Zuberi Katwila, amejiuzulu nafasi yake kuanzia leo Oktoba 18, 2020 baada ya kuwasilisha barua.

Zuberi Katwila

Akizungumza na East Africa Radio, Afisa Sheria na Utawala, Sabri Aboubakar amesema uamuzi wa Zuberi kuondoka klabuni hapo ni wake binafsi na wao kama uongozi wamebariki baada ya pande zote mbili kuridhia.

Sababu za kujiuzulu kwa kocha huyo hazijawekwa wazi kufuatia makubaliano ya pande hizo mbili kukubaliana kuwa ni siri.

Katwila amejiuzulu ikiwa ni siku chache baada ya Mtibwa kupoteza mchezo wa tatu mfululizo wa ligi kuu na mara ya mwisho walinyukwa 2-0 na Gwambina.

Katwila amedumu katika klabu ya Mtibwa tangu mwaka 1999 akiwa mchezaji kabla ya kugeukia ukocha kwa miaka 8, huku mitatu katika hiyo alikua kocha mkuu wa wakatamiwa hao.

Mikoba yake kwa sasa imeachwa kwa Vicent Barnabas ambaye alikua msaidizi wake tangu kuanza kwa msimu.
 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ