
Kushoto ni Mwalimu George Giseli na kulia ni Velina Mashaka, baadhi ya walimu walioeleza changamoto yao.

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dk. Faustine Ndugulile

Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata Utepe kwa ajili ya kupokea Miradi iliyofadhiliwa na kujengwa na Serikali ya Ujerumani kupitia Jeshi la Nchi hiyo (GAFTAG) kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ, Lugalo Jijini Dar es salaam.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata chanjo ya #UVIKO_19 baaada uzinduzi wa zoezi la uchomaji wa Chanjo, Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 28 Julai, 2021.

Novak Djokovic(Kushoto) na Kei Nishikori(Kulia) pichani walipokutana kwenye michuano ya US Open mwaka 2014 .

Picha ya pamoja Steve Nyerere na Haji Manara

Kutoka kushoto pichani ni Steve RnB, Jux na Ben Pol