Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TFF yashtukia hujuma mechi ya Yanga Vs Ngaya

Ijumaa , 17th Feb , 2017

Kuelekea katika mchezo wa marudiano mzunguko wa awali Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Ngaya hapo kesho Jumamosi, Shirikisho la Soka nchini TFF limetoa onyo kwa mashabiki waliopanga kubeba mabango yenye ujumbe wa kuikashifu serikali.

Mashabiki Yanga

 

Afisa habari wa TFF Alfred Lucas amesema, wamepokea taarifa kwamba wapo mashabiki ambao wamepanga kubeba mabango yenye ujumbe tofauti wa kuikashifu serikali pamoja na TFF suala ambalo litachangia vurugu katika mchezo huo hapo kesho.

Alfred amesema, iwapo wahusika watakaofanya matukio yoyote ya kupoteza amani uwanjani hapo kesho pamoja na katika mchezo wa Februari 25 katika mchezo wa watani wa Jadi Simba na Yanga hatua kali za kisheria zitachukuliwa watuhumiwa kufikishwa mahakamani kufunguliwa mashtaka ya kosa la jinai.

Wakati huohuo Alfred amesema kikosi cha Timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania Serengeti Boys kitavunja kambi kwa muda wa wiki mbili kuanzia Februari 25 mpaka Machi 12 mwaka huu ili kutoa mapumziko mafupi kwa vijana hao kwa ajili ya maandalizi ya kambi ya kuelekea kwenye mashindano ya AFCON ya vijana nchini Gabon.

Huyu hapa Alfred akielezea...

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi